Saturday 21 February 2015

KUMBUKUMBU ZA VURUGU ZA GESI MTWARA


Hiki kilikua ni kipindi cha majonzi makubwa kwa wana mtwara katika sakata la kuhitaji haki yao. Ama hakika kwa wale wote tunaokumbuka kipindi hiki hatutamani kuhitajia kutokea tena kipindi kama hiki. Simanzi zilitawala kutokana na watu kuaribiwa makazi yao, na hata kukosa ndugu zao.Mungu awatakie kheri wote waliokakumbwa na kharika lile.

Zifuatazo ni baadhi ya picha ambazo huonyesha matukio mbalimbali ya kipindi kile:-








No comments:

Post a Comment